Home Search Countries Albums

Wauwe

MARIOO

Wauwe Lyrics


Dengula nyonga msokoto
Maana mimi nimekuja na bapa
Masha luv wee lete watoto
Wanyonyonga party za kukata

Nyumbani mimi nimechoka
Mavitu ya mama
Nataka dhuluma dhuluma eeh
Nipate ndogo ndogo baridi mwanana

[CHORUS]
Kama kuna nyama choma fire
Mapucho pucho
Akikupa kwenye kona gwaya
Nyuma kwa mbele, kulia, kushoto
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

[VERSE 2]
Maritili, ka dinner
Na anataka piece kama wema
Japo kitu kama mkono, mkono
Ata kwenye giza ndo kudema
Mama mama jishikilie
Nabadilikia kilimani
Oooh mama mama nitilie
Kama tandoni na ukokoni

[CHORUS]
Kama kuna nyama choma fire
Mapucho pucho
Akikupa kwenye kona gwaya
Nyuma kwa mbele, kulia, kushoto
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

Alkaida! Na kama alkaida!
Alkaida! Na kama alkaida!
Wauwe! Wauwe! Wauwe! Wauwe!

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Wauwe (Single)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzania

Marioo is a Tanzanian singer/songwriter  based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...

YOU MAY ALSO LIKE