Home Search Countries Albums

Asante

BELLE 9

Asante Lyrics


Asante, asante
Asante Baba we Baba 
Asante, asante
Asante Baba we Baba 

Nasema asante asante 
Thank you God (Thank you God)
We Baba

Walichomoa betri moto ukalipuka 
Idadi kubwa mauti yaliwakuta
Mimi ni nani? Ah ah ni nani aah

MV Nyerere watu hawakuvuka
Walizama mwisho ukawafika
Sisi ni nani? Mmmh Aah ni nani?

Kesho yetu hatuijui
Tusiache kutubu na kumwabudu ye
Mwabudu ye

Kesho yetu hatuijui
Tusiache kutubu na kumwabudu ye
Mwabudu ye

Hukutaka niteketee
Ukanivusha niendelee
Wewe ni wa pekee nini nikupe eeh
Aah kitushe eeh
Kwa wazazi kwa mafans marafiki
Ulifanya wasilie eeh eh eeeh...

Asante, asante
Asante Baba we Baba 
Asante, asante
Asante Baba we Baba 

Nasema asante asante 
Thank you God 
Mmmh we Baba

Hata umiliki pesa mali
Toka msingi sekondari
Anatulinda mpaka uzee
Na hahitaji chochote

Baraka zinaanzia kwake
Wapo waliokukosea wasamehe
Hatujakamilika sote tunapita

Kesho yetu hatuijui
Tusiache kutubu na kumwabudu ye
Mwabudu ye

Kesho yetu hatuijui
Tusiache kutubu na kumwabudu ye
Mwabudu ye

Hukutaka niteketee
Ukanivusha niendelee
Wewe ni wa pekee nini nikupe eeh
Aah kitushe eeh
Kwa wazazi kwa mafans marafiki
Ulifanya wasilie eeh eh eeeh...

Asante, asante
Asante Baba we Baba 
Asante, asante
Asante Baba we Baba 

Nasema asante asante 
Thank you God 
Mmmh we Baba
Thank you for everything

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Asante (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BELLE 9

Tanzania

Belle9 is Tanzanian musician, R&B singer ...

YOU MAY ALSO LIKE