Home Search Countries Albums

Unanikosha

MARIOO

Read en Translation

Unanikosha Lyrics


(Mocco)

Mmh aah weka utam my lady
Kabla hakujakucha my lady
Mmmh aah nahisi nadedi
Ukisimama kwa ukuta my lady

Aah nahisi joto sio joto baridi sio baridi
Mmh nakuwa katoto katoto we unavyonifariji

Hizo bingiri bingiri mpaka chini
Nakupa pingili bafuni kabatini
Beiby lako timwili timbwili la kijini
Mmmh aah aaah 

We ndo unikosha
We ndo unanikosha(Aah aah umenikaa)
We ndo unanikosha(Mmh aah unanikaa)
We ndo unanikosha

Baby nipe tena kimoko 
Kisheti ninywe na chai
Wa kusela kusema wanoko
Nipetii niwe nishai

Bila wewe lazizi nahisi ningehenyeka sana
Nataka nikutoe beiby kwa mpaka bana
Ila wewe lazizi kueneka bana
Nataka nikutoe beiby mmh

Hizo bingiri bingiri mpaka chini
Nakupa pingili bafuni kabatini
Beiby lako timwili timbwili la kijini
Mmmh aah aaah 

We ndo unikosha
We ndo unanikosha(Aah aah umenikaa)
We ndo unanikosha(Mmh aah unanikaa)
We ndo unanikosha

Aah niko nyuma naiokota
Dondosha mmh aah dondosha
Ukizima naikokota
Dondosha mmh aah dondosha

Fanya kama kuisokota
Dondosha aah aah dondosha
Mbona kama inatokota
Dondosha, dondosha

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Unanikosha (Album)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzania

Marioo is a Tanzanian singer/songwriter  based in Dar Es Salam. His first single (Dar Kugumu), ...

YOU MAY ALSO LIKE