Home Search Countries Albums

Jinadi Lyrics


Nidekeze nipate raha duniani
Nidekeze nijirimbwase na mimi
Nichombeze nikolekeze chumbani
Nilambishe nipate utamu wa sukari
Nkiwa nawe

Mi nataka uninogeshe utamu wa karanga mdomoni
Nitakupa na kachori za kwa azizi mtongani
Biryani kwa sele bonge nibebe
Vingunguti na kyembe mbuzi tutembee
Mi nataka nijinadi
Kwako naba nijinadi
Nipe yote nijinadi
Mi nataka nijinadi

Waite wenzako tufanye sherehe
Mi nataka wajue ka niko na we wee
Baby it’s you you you you
The one I love
Baby it’s you you you you
The one I love
Leo tujiweke wazi watuons
Wasiotupenda wakoms
Kuanzia leo your not lonely
Your my baby
Leo tujiweke wazi watuons
Wasiotupenda wakoms
Kuanzia leo your not lonely
Your my baby
Ah, leo ndo ile siku nakuvisha na shela
Leo naachana na usela
Baby you know me better
Me ni bonge la bwana
Halafu go better
Yani kwakifupi naacha kusizi
Yani kwanzia leo mazes niko busy
Maana mama yeni keshaweka ulinzia
So I’m busy

Mi nataka uninogeshe utamu wa karanga mdomoni
Nitakupa na kachori za kwa azizi mtongani
Biryani kwa sele bonge nibebe
Vingunguti na kyembe mbuzi tutembee
Mi nataka nijinadi
Kwako naba nijinadi
Nipe yote nijinadi
Mi nataka nijinadi

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Jinadi (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MALKIA KAREN

Tanzania

Malkia Karen is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE