Home Search Countries Albums

Haja Lyrics


Mwenzako nishaanza mwanzo
Sikufichi hope hata kwa macho
Simu ishaisha bundle
Yanini vijembe mipasho

Ata mwenzako sifikirii bado
Matapishi sirudii
Naona unazuga zuga bado
Kumi na nane siingii

Hasira hasara 
Kupenda sana ukaninyanyapaa
Nami nikaona haina maana
Nikajitoa unataka rudiana
Mbona kwangu mi?

Haina haja, haina haja
Aah nishamaliza, haina haja
Mbona kwangu basi, haina haja

Nilikupa unachohitaji
Mwenyewe nikajinyima
Ukanishusha na hadhi
Ukanikosea heshima

Labda nikuweke wazi
Muda wa kupoteza sina
Ushamwaga maji 
Yamenisomba na shina, ayee

Siwezi ng'ang'ania bango
Kuishi na wewe ka mapambo
Mimi natia nia unatania eiye yeah yeah

Hasira hasara 
Kupenda sana ukaninyanyapaa
Nami nikaona haina maana
Nikajitoa unataka rudiana
Mbona kwangu mi?

Haina haja, haina haja
Aah nishamaliza, haina haja
Mbona kwangu basi, haina haja

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Haja (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MALKIA KAREN

Tanzania

Malkia Karen is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE