Kwetu Lyrics

Sioni taabu nakula kwetu nalala kwetu eeh
Yaani sioni tabu, nala kwetu wee
Nalala kwetu wee, bure mnajisumbua
Yaani sioni tabu, nala kwetu wee
Nalala kwetu wee, ya nini mnajisumbua mnajisumbua?
Sioni taabu, nakula kwetu wee
Nalala kwetu sina shida mimi
Na wala sina karaha
Sijaomba kwenu, sijalala kwenu
Ya nini lakini kunisimanga mimi
Kila siku niamkapo, kila mahala niendapo
Mwanitaja taja jina langu
Sili kwenu, silali kwenu
Karaha za nini, shida za nini?
Yaani sioni taabu, nala kwetu wee
Nalala kwetu wee, bure mnajisumbua
Yaani sioni tabu, nala kwetu wee
Nalala kwetu wee, ya nini mnajisumbua mnajisumbua?
Yaani mi sioni taabu, nakula kwetu wee
Mwajisumbua
Sioni tabu, nalewa kwetu
Nakesha kwetu, yeah
Kila siku niamkapo, kila mahala niendapo
Mwanitaja taja jina langu
Sili kwenu, silali kwenu
Karaha za nini, shida za nini?
Yaani sioni taabu, nala kwetu wee
Nalala kwetu wee, bure mnajisumbua
Yaani sioni tabu, nala kwetu wee
Nalala kwetu wee, ya nini mnajisumbua mnajisumbua?
Sioni taabu, nakula kwetu
Nalala kwetu yeah
Yaani sioni taabu! Sioni taabu!
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Kwetu (Single)
Copyright : (c) 2021 Slide Digital
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE