Acha Waone Lyrics

Acha waone, waone
Acha waone
Acha waone, waone
Acha waone
Eti mwana hafikishi dem
Bila kadawa hapigi game
Anasema hata akienda sehemu
Akikosa demu anaondoka na shemu
Si anasema ukilewa ubebe
Unatapika unarudisha change
Unazima kabisa husomeki'
Acha waone
Hujiwezi huna hata breki
Unatukuta una tu overtake
Koko mingi unajiona keki
Na watajuta eeh
Tunajirusha eeh
Tunajirusha eeh
Hadi kunakucha eeh
Acha waone, waone
Acha waone
Acha waone, waone
Acha waone
Huyu dada akilewa anashida
Anachanganya anamix na widaa
Na vituko anamshinda Rashida
Ukiomba namba anakupa ya NIDA
Tunajirusha eeh
Hadi kunakucha eeh
Acha waone, waone
Acha waone
Acha waone, waone
Acha waone
Wahuni wahuni mpaka kule wahuni
Wahuni wahuni msiniangushe wahuni
Wahuni wahuni mpaka kule wahuni
Wahuni wahuni msiniangushe wahuni
Wahuni wahuni twende juu wahuni
Wahuni wahuni msiniangushe wahuni
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Acha Waone (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE