Home Search Countries Albums

Acha Waone

KUSAH

Acha Waone Lyrics


Acha waone, waone
Acha waone
Acha waone, waone
Acha waone

Eti mwana hafikishi dem
Bila kadawa hapigi game
Anasema hata akienda sehemu
Akikosa demu anaondoka na shemu

Si anasema ukilewa ubebe
Unatapika unarudisha change
Unazima kabisa husomeki'
Acha waone

Hujiwezi huna hata breki
Unatukuta una tu overtake
Koko mingi unajiona keki

Na watajuta eeh
Tunajirusha eeh
Tunajirusha eeh
Hadi kunakucha eeh

Acha waone, waone
Acha waone
Acha waone, waone
Acha waone

Huyu dada akilewa anashida
Anachanganya anamix na widaa
Na vituko anamshinda Rashida
Ukiomba namba anakupa ya NIDA

Tunajirusha eeh
Hadi kunakucha eeh

Acha waone, waone
Acha waone
Acha waone, waone
Acha waone

Wahuni wahuni mpaka kule wahuni
Wahuni wahuni msiniangushe wahuni
Wahuni wahuni mpaka kule wahuni
Wahuni wahuni msiniangushe wahuni

Wahuni wahuni twende juu wahuni
Wahuni wahuni msiniangushe wahuni

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Acha Waone (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KUSAH

Tanzania

Kusah is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE