Kazi Iendelee Lyrics
Acha kazi iendelee
Acha kazi iendelee
Tulilia na tukalalama
Mbona baba ameondoka, tukashika tama
Ila Mungu hajatutupa, sababu upo mama
Mmmh mwanamke shujaa tupo salama
Tabasamu lako nguvu ya taifa
Unapambana sana mi nakupa sifa
Toka makamu mpaka leo ulipofika
Dereva wa taifa letu utatufikisha
Hakuna nyumba bila mama eeh (Mama)
Utamfananisha na nani mama ni mama (Mama)
Mama Samia tuna imani nawe (Mama)
Mtetezi wetu ni nani? Kama sio wewe
Sauti ya upole uongozi unaujua aah
Hata hufoki ila ndo unawatumbua aah
Mungu akulinde mama twaomba dua aah
Ila wakikuzingua (Wakikuzingua) Nawe zingua ah ah
Madoctor hospitali, walimu shule (Kazi indelee)
Ulinzi ma askari, wananchi kule (Kazi indelee)
Boda boda bajaji mama nitilie (Kazi indelee)
Wakandarasi madereva na viwanda (Kazi indelee)
Oooh acha!
Acha kazi iendelee (Wacha kazi iendelee)
Acha kazi iendelee (Wafanya biashara)
Acha kazi iendelee (Wacha kazi iendelee)
Acha kazi iendelee (Wacha kazi iendelee)
Acha kazi iendelee
"Kwa wale ambao wana mashaka
Mwanamke huyu ataweza kuwa Rais
Wa Muungano wa Jamhuri ya Tanzania
Nataka niwaamnie aliyesimama hapa ni Rais"
"Nataka nirudie kwamba aliye simama hapa
Ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania"
Acha kazi iendelee
Acha kazi iendelee
(Sound Boy)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Kazi Iendelee (Single)
Copyright : (c) 2021 Next Level Music/ WCB Wasafi
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
RAYVANNY
Tanzania
Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE