Home Search Countries Albums

Mama Kiroba

MADEE

Mama Kiroba Lyrics


Woyoyo, woyoyo yoyo (Shmida)
Woyoyo, woyoyo yoyo (Leta tutere)
Woyoyo, woyoyo yoyo (Shmida)
Woyoyo, woyoyo yoyo 

Vile unavyopendeza mama kiroba eh
Napenda nikubebe kama kiroba eh
Kwako sober, nimevaa viroba
Umeniroga mama kiroba

Salamu zenu mabibi  na mabwana
Kusema kweli huyu mama ananichanganya sana
Kila mara unapopita (Pita)
Moyo unanipwita pwita (Pwita)
Nimbebe kama kita nikamlaze 
Sita kwa sita

Nipige show (Show)
Kukuche majogoo (Goo)
Mpaka liseme po (Po)
Hey darling you never know (Know)

Sai go, kukill show
Japo kukupita kwenye koo
Kuikosa kwangu soo
Nitalisaka hata Kariakor (Kosa)

Vile unavyopendeza mama kiroba eh
Napenda nikubebe kama kiroba eh
Kwako sober, nimevaa viroba
Umeniroga mama kiroba

Checheme, checheme (Kosa)
Checheme oyaah eh
Niseme nisiseme (Kosa)
Utazima boya we

Nisimkumbate (Leteni)
Nilipe mate (Lingeni)
Nilipakate (Sebuleni)
Mama kiroba (Miuno feni)

Hapa mwepesi
Kumbe ameficha shanga
Moto wa gesi
Yes Simba mimi Yanga

Mna tetesi 
Lijimama la kitaNga
Mtanipa kesi
Mumewe anipige mapaNga

Vile unavyopendeza mama kiroba eh
Napenda nikubebe kama kiroba eh
Kwako sober, nimevaa viroba
Umeniroga mama kiroba

Hayawi hayawi
Na sasa amekuwa
Wamekosa mbivu kwa uvumilivu
Kwa uvivu wa kuchagua

Lishinde tawi, hili tunachanua
Usiulize vipi kwani kipi kipi
Mpaka Zeso anamjua

Nachapa tu fimbo
Mikogo mixer maringo
Siko swagger za Congo
Zungusha kibindo aah

Wapeana habari
Hili mama limenitoa mbali
Round hii sitaki shari
Zile pah pah mashari chali

Vile unavyopendeza mama kiroba eh
Napenda nikubebe kama kiroba eh
Kwako sober, nimevaa viroba
Umeniroga mama kiroba

Woyoyo, woyoyo yoyo 
Woyoyo, woyoyo yoyo 
Woyoyo, woyoyo yoyo 
Woyoyo, woyoyo yoyo
Kosa!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Mama Kiroba


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MADEE

Tanzania

...

YOU MAY ALSO LIKE