Home Search Countries Albums

Useme ft Imocy

M NEX NEX I

Read en Translation

Useme ft Imocy Lyrics


Hey yeah oh

M Nex

Yeeh (posho city music)

Hasira haifai kwenye maamuzi

Alisema till I die ameniacha juzi

Kwa maneno ya kusingizia

Yamefanya me nitoe chozi

Sa kwanini umeyazingatia siwezi pona umezidisha dozi

Usiku me silali ni mawazo nateseka juu yako

Na tangu uende mbali ni mateso nateseka juu ya penzi lako

Kipi nilifeli njoo uniambie ukinipa nafasi nikufanyie

Ahadi za kweli zitumie Ukirudi Kwangu utulie

Nakupenda sana usione kama nang'ang'ana

Rudi mama usiwafate wanakudanganya

Basi useme ee nili feli wapi

Nawe useme ee ulifanya mangapi

Basi useme ee

Nawe useme useme nilifanya mangapi

(Yoh Nex, unajua mapenzi yanaumiza mwanangu, it's Imocy)

Maktaba yangu ya upendo tayari umeshaichana sasa unafurahi

Zile ahadi kwamba baby hatutokuja kuachana ndo zinantoa uhai

Nikusubirie ama mwenzangu ndo mazima umeshapata mwingne

Aibu yangu mie nilijitapa wamaisha nikakupost na insta

Ona hivi sasa unapost una bwana mwenye ndinga tena unanidharau

Unahisi kama Mungu ridhiki yangu ndo keshaziba na sitopanda dau

Na mi nasema baaasi nimejua ni kiherehere changu tu

Nimefanya mangapi na unajua ukweli but you hide truth

Nakupenda Sana usione kama nang'ang'ana

Rudi mama usiwafuate Wanakudanganya

Nakupenda Sana usione kama nang'ang'ana

Rudi mama usiwafuate Wanakudanganya Nami nasema

Basi useme ee nili feli wapi

Nawe useme ee ulifanya mangapi

Basi useme ee

Nawe useme useme nilifanya mangapi

(it's Imocy, Chief cooker, Nex?)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2024


Album : (Single)


Added By : M Nex Nex I

SEE ALSO

AUTHOR

M NEX NEX I

Tanzania

Nehemiah Shukuru Senyagwa, better known as M Nex Nex I, is a Singer, Rapper, Songwriter, TV & Ra ...

YOU MAY ALSO LIKE