Nayaweza Lyrics
Baba amesema kwamba, tumwite nae atasikia
Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea
Baba amesema kwamba, tumwite nae atasikia
Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea
Ila tuwe na imani nayeye
Tukiamini anaweza yote eeeeh
Mwenye hofu ajigange moyo
Akiamini Mungu yupo
Huku tukifanya kazi
Tukipambana tukipambana
Tukimwamini wetu mwokozi
Yesu wa maana ashushae baraka aaah aaah
Nayaweza, nayaweza
Nayaweza, nayaa
Nayaweza, nayaweza
Nayaweza, nayaa
Palipo na nia pana njia
Tena hutimia
So nenda polepole utafika
Yanini kukimbia eeeh?
Fanya magumu kama hujayaona
Japo yanachoma usijali wewe
Wanaokucheka watapata homa
Pale wakikuona unasonga mbele
Daily mapambano pigana
Ukisaka Day
Wanaokucheka leo achana nao
Tazama kesho yakooooh
Nayaweza, nayaweza
Nayaweza, nayaa
Nayaweza, nayaweza
Nayaweza, nayaa
Nayaweza, nayaweza
Nayaweza, nayaa
Nayaweza, nayaweza
Nayaweza, nayaa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Nayaweza (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
BEDA ANDREW
Tanzania
Beda Andrew is a Singer, Songwriter and a Recording Artist from Tanzania. ...
YOU MAY ALSO LIKE