Home Search Countries Albums

Nayaweza

BEDA ANDREW

Nayaweza Lyrics


Baba amesema kwamba, tumwite nae atasikia 
Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea
Baba amesema kwamba, tumwite nae atasikia 
Tena amesema kwamba tukimwomba jambo atatutendea  

Ila tuwe na imani nayeye
Tukiamini anaweza yote eeeeh 
Mwenye hofu ajigange moyo 
Akiamini Mungu yupo 

Huku tukifanya kazi 
Tukipambana tukipambana 
Tukimwamini wetu mwokozi 
Yesu wa maana ashushae baraka aaah aaah 
 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 

Palipo na nia pana njia
Tena hutimia
So nenda polepole utafika
Yanini kukimbia eeeh?

Fanya magumu kama hujayaona
Japo yanachoma usijali wewe 
Wanaokucheka watapata homa 
Pale wakikuona unasonga mbele 

Daily mapambano pigana 
Ukisaka Day 
Wanaokucheka leo achana nao 
Tazama kesho yakooooh 
 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 

Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 
Nayaweza, nayaweza 
Nayaweza, nayaa 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nayaweza (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BEDA ANDREW

Tanzania

Beda Andrew is a Singer, Songwriter and a Recording Artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE