Sorry Lyrics

M Nex
Ulikuwa ni mpenzi wangu
Na Moyo wako haukuwa mbali na mi
Nilidhani utakuwa wangu
Na ndoto zangu zinafeli yani siamini
Hata uki-post, naona unanisema Mimi, naishi kwa kujishuku
Na wala sio mbali, ni juzi tu, ulikuwa Na mi
Tulipiga picha wewe na mi, Penzi Likashamili
Na kila kukicha wewe na mi, walituona wawili
Oh baby! Sorry! , Sorry! Sorry
Oh now I'm worrying, worrying ,worrying
Oh baby Sorry, Sorry, Sorry
Oh now I'm worrying, Worrying, Worrying
Namiss zile snap chat ulinitumia
Video call night ulinipigia
Namiss tabasamu lako , sio utani naumia mwenzako
Na utakua unafeli kama ukinichunia
SMS haujibu ata nikikutumia
So Fanya tuyajenge mana nimekosea
I promise, siwezi kurudia
Tulipiga picha wewe na mi, Penzi Likashamili
Na kila kukicha wewe na mi, walituona wawili
Oh baby! Sorry! , Sorry! Sorry
Oh now I'm worrying, worrying ,worrying
Oh baby Sorry, Sorry, Sorry
Oh now I'm worrying, Worrying, Worrying
It's a trap house records
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Sorry (Single)
Added By : M Nex Nex I
SEE ALSO
AUTHOR
M NEX NEX I
Tanzania
Nehemiah Shukuru Senyagwa, better known as M Nex Nex I, is a Singer, Rapper, Songwriter, TV & Ra ...
YOU MAY ALSO LIKE