Home Search Countries Albums

Linapotea

LODY MUSIC

Linapotea Lyrics


Hadi nashindwa kulaumu moyo
Hakuna alienifosi ila tama zangu
Hataki nitafune ananiita kibogoyo
Nahisi nina mkosi penzi kaeka utandu 
Nawe si uliweka utaniweka moyoni honey ama nakosea
Penzi limekata njiani mimi nashindwa kuamin daah mama unanionea
Ina maana umenishusha thamani umenifunza , na ulivyolelewa
Wananisheka jirani wanaona ya ndani penzi naelemewa
Ina maana imekata mipangoo haunipi mambo maana tumekaa sanaa
Najua nilitibua mambo baadala nilete jango nikaleta banana
Penzi linapoteaa (walaah penzi letu linapoteaa)
Tunapoteana walah mmh
Penzi linapotea eeyee
Junapoteana walah mmmh

Nikikuona mwenzako na mood inachange
Mimi na wewe nani mwanaume ama ndo unanichallenge
Ama shobo nimezianza mie si hesabu makosa
Penzi robo umeamua unipatie ndo maana
Nawe si uliweka utaniweka moyoni honey ama nakosea
Penzi limekata njiani mimi nashindwa kuamin daah mama unanionea
Ina maana umenishusha thamani umenifunza , na ulivyolelewa
Wananisheka jirani wanaona ya ndani penzi naelemewa
Ina maana imekata mipangoo haunipi mambo maana tumekaa sanaa
Najua nilitibua mambo baadala nilete jango nikaleta banana
Penzi linapoteaa (walaah penzi letu linapoteaa)
Tunapoteana walah mmh
Penzi linapotea na na eeyee
Junapoteana (junapoteana)
Walah mmmh (na na)

Lody music on this one
Lupaso kid on the map
Infinity

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Linapotea (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

LODY MUSIC

Tanzania

Lody Music is an artist from Tanzania. He is best known for his trending song "Kubali". ...

YOU MAY ALSO LIKE