Home Search Countries Albums

Wanaweweseka

RAYVANNY

Wanaweweseka Lyrics


Wenyu uwivu wasijinyonge 
Ila wapigwe shoti wafee
Kingasti wangu yuko hapa
Usinishike bega niache
Nakupa yote mumunya, tamu wa pipi mate
Baby kwa mapenzi huko chuo, hauko tena kindergarten
Marashi yake ma, amechanganya na tangau
Mtoto kama saida karoli anavyo chambua karanga
Na simuwachi nampenda, ya pete mi chanda
L O V E,( i love you) kama kasimu muganga
Pressure inapanda, pressure inashuka
Wanaovimba watapasuka 
Niki kuposti namba insta pata chafuka
Watatamani huhack waje kufuta
Ooh lelele wanaweweseka
Nimekupa bundle watuperuzi, wanaweweseka
Mama nipe mambo tuwauthii, wanaweweseka
Basi cheka cheka uki deka deka mami, wanaweweseka

Baby eeh, tausi maingona
Teke eeh umbo kifusi, nyuma kishinoni
Nikubebe eeh na wenye chuki wakate shingoni
Sitakilete eeh kina bunduki, na wanandalido
Udongo gani, unaokufinyanga mali weh
Mganga gani alopiga manyanga mali weh
Majungu simutachi ayaya, maneno sio radi ayaya
Jasho lina watoka maji, (I love you daddy)
Marashi yake ma, amechanganya na tangau
Mtoto kama saida karoli anavyo chambua karanga
Na simuwachi nampenda, ya pete mi chanda
L O V E,( i love you) kama kasimu muganga
Pressure inapanda, pressure inashuka
Wanaovimba watapasuka 
Niki kuposti namba insta pata chafuka
Watatamani huhack waje kufuta
Ooh lelele wanaweweseka
Nimekupa bundle watuperuzi, wanaweweseka
Mama nipe mambo tuwauthii, wanaweweseka
Basi cheka cheka uki deka deka mami, wanaweweseka

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Wanaweweseka (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

RAYVANNY

Tanzania

Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...

YOU MAY ALSO LIKE