Mwagia Ndani Lyrics

(Sounds by Abbah)
Long time niikuona eeh
Penzi kama tulianza jana
Sometimes ananikera
Nampea kwanza nawaza naye
Mafisi wanajikoki
Wataka penzi langu hawalipati
Ndo kwanza ye ananiposti
Pole wabambe itawakosti
Eeh tate nane tumeshibana
Eeh sa itakuwaje tukitengana
Tukiongozana si unaona
Bibi na bwana si unaona
Tunavyopendana si unaona
Mfupa kwa nyama si unaona
Boy now tell me what to do
---
--
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : The Evolution (Album)
Copyright : (c) 2021 Abbah Music.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
ABBAH
Tanzania
Abbah Process real name Sweetbert Charles Mwinula is aka the 'Beat Monster' is a music ...
YOU MAY ALSO LIKE