Home Search Countries Albums

Kubali

LODY MUSIC

Read en Translation

Kubali Lyrics


Yeah! Unalewa nini?
Wakati mwenzako ameshakuacha 
Yaani hakutaki tena

Unampigia nini?
Akiona namba yako tu anakata
Huyo sio wako tena

Hata usiwaze kulipiza kisasi 
Kwa vijembe vingi huko status
Kwenye moyo wake huna nafasi easy

Tena usiwaze kujipiga risasi
Usijinyonge usijigasi 
Kwenye moyo wake huna nafasi easy

Usilazimishe
Utazeeka vibaya 
Asikulazimishe no no no
Unaenda mishe mishe
Ndani analeta malaya
Asikubabaishe ooh! yeah yeah eh

Amekuacha we, umeachwa 
Kubali kubali
Utampata wako mtapendana, kwa dhati
Amekuacha we, umeachwa eeh!
Kubali kubali
Aah! Mapenzi yanauma eh

Unayempenda kampenda mwengine
Huyo mwengine naye ana mwengine
Mwengine naye kapendwa na mwengine
Moyo sukuma damu sio mashine

Yanakuumiza na pengine 
Hauna budi kumpenda mwengine 
Mapenzi joto joto usipime
Moyo sukuma damu sio mashine

Penzi kiza kinene kiroho mbaya
Yanatesa tena vibaya
Ukitenda una retire ah!

Labda hufiki kina mapenzini
Ndo maana unaachwa matatani
Hufiki kina mapenzini (Mapenzi mapenzi)

Usilazimishe
Utazeeka vibaya 
Asikulazimishe no no no
Unaenda mishe mishe
Ndani analeta malaya
Asikubabaishe ooh! yeah yeah eh

Amekuacha we, umeachwa 
Kubali kubali
Utampata wako mtapendana, kwa dhati
Amekuacha we, umeachwa eeh!
Kubali kubali
Aah! Mapenzi yanauma eh

(Lody Music on this one)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Kubali (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LODY MUSIC

Tanzania

Lody Music is an artist from Tanzania. He is best known for his trending song "Kubali". ...

YOU MAY ALSO LIKE