Koleza Lyrics
[VERSE 1]
Wakiongea usijibu chochote we baki bubu
Me komo yao na hawajui tu
Na furaha imeeleta unaleta amani kwenye maisha yangu
Povu liwatoke wakaroge nitabaki nawe
Mpenzi koleza, Baby koleza
Hawatuoni wanamakengeza
Kengeza
Mpenzi koleza, Baby koleza
Hawatuoni wanamakengeza
Kengeza
[CHORUS]
Inabidi uniamini (aaah eeh)
Kukuacha kazi (kazi)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)
Inabidi uniamini (aaah eeh)
Kukuacha kazu (kazu)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)
Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!
Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!
[VERSE 2]
Maneno maneno wakikuambia
Nambie eh
Midomo midomo kazi
Yake kuongea wapuuzie
Nitauboresha, boresha
Nitauboresha miee
Mpenzi koleza, Baby koleza
Hawatuoni wanamakengeza
Kengeza
Mpenzi koleza, Baby koleza
Hawatuoni wanamakengeza
Kengeza
[CHORUS]
Inabidi uniamini (aaah eeh)
Kukuacha kazi (kazi)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)
Inabidi uniamini (aaah eeh)
Kukuacha kazu (kazu)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)
Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!
Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!
[CHORUS]
Inabidi uniamini (aaah eeh)
Kukuacha kazi (kazi)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)
Inabidi uniamini (aaah eeh)
Kukuacha kazu (kazu)
Usiamini amini maneno ya watu (watu)
Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!
Lele lelele! Jimwa jimwa jimwaage
Lelele!
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2018
Album : Koleza (Single)
Added By : Afrika Lyrics
SEE ALSO
AUTHOR
LINAH
Tanzania
Estelina Peter Sanga aka Linah is a Tanzanian award winning singer and performer with few hits in he ...
YOU MAY ALSO LIKE