Home Search Countries Albums

Tikitaka Rostam

BANDO

Tikitaka Rostam Lyrics


Rostam tikitaka
Yeah wanakuita singa singa
Maradona mara sembe
Nakufanya bila kinga 
Huwezi ukapona kizembe

Yaani kuuma, 
Misha kwamba blaza we ni boya 
Alafu maji mara moja
Kama maharagwe ya soya

Haha mabraza ni wakimya sio wanyonge
Au mlango umefungwa nyuma wanataka wakugonge
Ama game imekushinda, unatafuta kiki
Sasi bora uongeze makalio udange na Gigy

Nyie ma-rapper waviringe bwana, akili ndogo
Yaani mnakimbia huku mkifosi kukata gogo
Wacheni shobo, mnashobokea sana dudu
Mmefanya kazi kubwa leo kumwongelesha bubu

Eti tikitaka Rostam, si kitambo bro
Hujui kwamba Roma babako wa kambo bro
Huna jambo homeboy, hapo utakaa mwanaume gani?
Umetongoza tomboy akakukataa(Kemikali)

Unashoboka man
Ukiona tumejibu ujue tumekuchoka man
We mjinga mpaka noma fuata yako
Kumbe hujui kusoma alafu mwalimu mkuu mama yako

Haha, leo hakuna jeans wala T-shirt
Si unajua dawa ya msitu ni Gilletti
Na kwa kuwa dawa ya Tanasha ni Chibu
Basi dawa yako mimi nakutibu taratibu

Mwanangu Sterio, mi ni babu yako
Acha nikutambulishe kuhusu ukoo wako
Roma ni baba yako, Stamina kaka yako
Usimtongoze tena Chemikal shangazi yako

Hahaha...
Wamemchokoza Bear....

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Tikitaka Rostam (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

BANDO

Tanzania

Bando is a hiphop artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE