Home Search Countries Albums

Mwaminifu

PAUL CLEMENT

Mwaminifu Lyrics



Una wasi wasi
Hofu na mashaka
Unahisi moyoni  kama MUNGU kakuacha
Maana unaona hausogei wala huendelei
Uko palepale kila siku
Uko vilevile

Una wasi wasi
Hofu na mashaka
Unahisi moyoni  kama MUNGU kakuacha
Maana unaona hausogei wala huendelei
Uko palepale kila siku
Uko vilevile

MUNGU aliianzisha safari tena ataimaliza
Maana alikujua kabla hujajijua kabla hujazaliwa  
MUNGU hawezi kukuacha njiani
Safari yako aliianzisha mwenyewe
Asingetaka angekuacha mwanzoni
Unakokwenda yeye anajua

MUNGU hawezi kukuacha njiani
Safari yako aliianzisha mwenyewe
Asingetaka angekuacha mwanzoni
Unakokwenda yeye anajua

MUNGU hawezi kukuacha njiani
Safari yako aliianzisha mwenyewe
Asingetaka angekuacha mwanzoni
Unakokwenda yeye anajua

MUNGU hawezi kukuacha njiani
Safari yako aliianzisha mwenyewe
Asingetaka angekuacha mwanzoni
Unakokwenda yeye anajua

Anajua .... Anajua
Anajua... Anajua

Atainyosha njia yako
Atainyosha njia yako
Ina mabonde (kweli)
Ina vikwazo vingi
Atainyoosha njia
Njia yako

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Mwaminifu (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

PAUL CLEMENT

Tanzania

PAUL CLEMENT  is a Gospel singer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE