Home Search Countries Albums

Nimeamini Lyrics


Aah, aah, aah

Nilikuwa nikingoja wapi itatokea
Faraja ya kweli
Nilikuwa nikingoja wapi itatokea
Furaha ya kweli

Nilijua labda pesa itanifariji
Nilijua labda wingi wa marafiki
Nilojua nyumba na magari nilionayo
Sikujua napoteza muda kushikilia vya duniani

Kumbe ni wewe (Yesu)
Bwana wangu (Yesu)
Ni mwaminifu (Yesu)
Rafiki wa kweli (Yesu)

Faraja ya kweli (Yesu)
Kimbilio langu (Yesu)
Wewe (Yesu) Bwana (Yesu)
Bwana

Nimeamini kwamba upo
Nimekuona mwenyewe umenizunguka Yesu
Nimeamini kwamba upo
Nimekuona mwenyewe Yesu umenizunguka

Ayee zile tantarira Bwana
Wale marafiki wabaya
Yesu umeniondolea
Na ukaweka kuta yoyo

Wewe ni Mungu wa ajabu
Upendo wako wa ajabu
Neema yako ya ajabu
Ukae daima ndani yangu

Wewe ni Mungu wa ajabu
Upendo wako wa ajabu
Neema yako ya ajabu
Ukae daima ndani yangu

Nitakupenda wewe (Yesu)
Ooh Yesu (Yesu)
Nitakupenda wewe (Yesu)
Lalalala (Yesu)

Yahweh Yahweh (Yesu)
Oh lalalala (Yesu)
Ishi ndani yangu (Yesu)
Yesu (Yesu)

Nitalitumaini, nitaliinua
Jina lako Yesu
Mimi nitalitumaini, nitaliinua
Jina lako Yesu

Yesu (Yesu)
Jina lako ni (Yesu)
Yesu (Yesu)
Mwokozi wangu (Yesu)

Umenifanya wa pekee (Yesu)
We Yesu (Yesu)
Mfalme ni yeye (Yesu)

Aah, aah 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Nimeamini (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JESSICA (J SISTERS)

Tanzania

Jessica MShama also known as Jessica (J Sisters) is a gospel artist from Tanzania, a member of ...

YOU MAY ALSO LIKE