Home Search Countries Albums

Sio Mbaya

JUX

Read en Translation

Sio Mbaya Lyrics


Kwa nini ukiniona 
Unakosa furaha
Si acha kuna kuna 
Kwa nini ujipe karaha mama

Mi najua unachotaka wee
Unachowazaga 
Ata mimi napitia
Ila tunajikaza eeh

Na siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako naona loneliness
Loneliness 

Na siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako kuna loneliness
Loneliness 

Najua kuna vingi we husemi 
Kwangu mimi sio mbaya
Ah tell me, kwangu mimi sio mbaya
Ah tell me, kwangu mimi sio mbaya nieleze 

Endapo utanimiss just call me 
Kwangu mimi sio mbaya
Nipigie, kwangu mimi sio mbaya
Mama nipigie, kwako mimi sio mbaya nieleze 

Nieleze, nieleze
Oooh no no no no

Kuna mazuri mengi umefanya
Sikutangaza ubaya aaah
Kuna mazuri mengi nimefanya
Sitokusemea ubaya aah

Please let me know oh oh oh
Nijue walisoma igizo, maigizo
Let me know oh oh oh
Labda we mimi sina tatizo, tatizo

Siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Machoni mwako naona loneliness
Loneliness 

Siwezi kumaliza verse
Bila kusifia your pretty face
Naona loneliness
Loneliness 

Najua kuna mengi we husemi 
Kwangu mimi sio mbaya
Ah sio mbaya, kwangu mimi sio mbaya
Kwangu mimi sio mbaya naomba nieleze 

Ukininimiss just call me 
Kwangu mimi sio mbaya
Mama mama ma, kwangu mimi sio mbaya
Nasema, kwangu mimi sio mbaya nieleze 

Moyo wako unataka taka
Mdomo wako nakataza taza
Naamua kunyamaza maza
Bora useme unachowaza waza

Unajua mama
Kwangu mimi sio mbaya
Kwangu mimi sio mbaya
Kwangu mimi sio mbaya nieleze 

Ukininimiss just call me 
Kwangu mimi sio mbaya
Kwangu mimi sio mbaya
Kwangu mimi sio mbaya nieleze 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : The Love Album/Sio Mbaya (Album)


Copyright : (c) 2019 AfricanBOY


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JUX

Tanzania

JUX, born Juma Mussa is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE