Home Search Countries Albums

Nishalowa

JAY MELODY

Read en Translation

Nishalowa Lyrics


Ona nanah

Ona nananah

Ninavyoonekana kama nina ulafi onhoo

Ninavyoonekana kama nakuja kasi anhaa

Najua unahitaji kidogo nafasi enhee

Na mie ndio hivyo nishakolea nazi anhaa

Huwa naota uniita

Sauti yako inavuma toka mbali

Mizigo yako nitajitwaika

Niko tayani mie kuanza safari

Kuna wakati ni usiku saa tisa

Unaongea na mimi haulali

Hivyo vitu vyanimaliza

Na kukuacha kwa kweli sitakubali

Yani sitosheki mimi

Unazidi kunichanganya

Au nilambe na ulimi

Nipite huko chini kwa chini

Naibuka nikizama

Kama samaki baharini oooh

Mapenzi yako mvua (nishaloa)

Mapenzi yako jua (lanichoma)

Mapenzi yako mvua (nishaloa)

Mapenzi yako jua (lanichoma)

Taratibu nishependa

Wangu moyo ushalenga

Vya ndani utamu nishalamba

Oh dear

Oh mama

Umenipa mapenzi, naona utajiri

Siwezi kuificha siri

Penzi maradhi nishapata

Unavyonijali dakitari

Mbona raha aah

Ndo ujue kama hakuna

Mimi bila wewe

Sitamani nikuache usiniache

Yani sitosheki mimi

Unazidi kunichanganya

Au nilambe na ulimi

Nipite huko chini kwa chini

Niibuka nikizama

Kama samaki baharini oooh

Mapenzi yako mvua (nishaloa)

Mapenzi yako jua (lanichoma)

Mapenzi yako mvua (nishaloa)

Mapenzi yako jua (lanichoma)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2025


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

JAY MELODY

Tanzania

  Jay Melody is the young talented afrikan boy raised in the slams of Tandale kwa Mtogole he ...

YOU MAY ALSO LIKE