Home Search Countries Albums

Nakupenda (Part 1)

KUSAH

Nakupenda (Part 1) Lyrics


Ilianza kama stori
Ni historia
Ninapendeza kweli kweli
Ni historia

Mashallah amejaliwa
Ana sifa zote za kusifiwa
Nampenda, nampenda

Wacha mimi wakiniona na suti
Naona shelana
Kanisani tukipiga magoti 
Tukiapa nawe

Ndipo watasema sijatania
Nakupenda oh mama mia
Uzuri wako we asilimia mia mia
Hakuna kama we mimi nakulilia

Oooh oh oh oh oh, oh oh oh oh
Hakuna kama wee, dada wee
Oooh oh oh oh oh, oh oh oh oh
Mi kwako nimefika tamati

Kutazama kushoto kulia nakuona wewe tu
Kwenye dunia hii, tumeumbwa wawili 
Ni mimi na wewe tu

Sasa usije iba furaha yangu
Mi ukaondoka nayo
Nitalia, lia lia 
Nitaumia mama
Nitalia, lia lia ...

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nakupenda (Part 1) (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KUSAH

Tanzania

Kusah is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE