Home Search Countries Albums

Tell Me

JUX Feat. JOH MAKINI

Tell Me Lyrics


Yeah Shawty, Let me talk to ya
S2Kizzy baby

[VERSE 1]
Ehh nisipo kula na wewe ungwanja
saa ntakula na nani sinaga uwo ujanja kwako
Ninjengo sote na kibanda
Awali side chiks wote walishasanda kwako
Kula ndizi bila maganda
Muhanga mi nishajitoa
Kitambo sikazi kwako
Kwa mungu na si kwa mganga
Njoo tupige goti baraka zimetaanda hapo

Nsipokupenda wewe ntampenda nani (Uhmmmm hmm)
Leo kazi sina nina kazi nyumbaani (yeah eeeeh)
Ntapika ulee wangu wa ndani (Uhmmmm hmm)
Na ndoto yangu uyatoe ya ndani mama (ooo woa)

[CHORUS]
Twende jambiani au twende
Serengeti mbugani ooh baby
Lushoto milimani
Usijali kwani pesa kitu ganii
Twende jambiani au twende
Serengeti mbugani ooh baby
Lushoto milimani
Usijali kwani pesa kitu ganii

Tell me something… Tell me something
Tell me something… Tell me something baby

[VERSE 2]
Naacha mambo yote maana najiskia mfalme njinii
unanipa vitu vingi hata sijui nikupe ninii
Tuna mali tuna Mungu napia tuna nia
Tuna ishi ndoto zetuu wakitushuhudiaa
Na unanifaaa... Moyoni umenikakaa kama nini
Pale na jikwaaa... mauni achii niende chini oooh woa

[CHORUS]
Twende jambiani au twende
Serengeti mbugani ooh baby
Lushoto milimani
Usijali kwani pesa Kitu ganii
Twende jambiani au twende
Serengeti mbugani ooh beibee
Lushoto milimani
Usijali kwani pesa kitu ganii

Tell me something
(Niambie kitu, niambie kitu, Niambie kitu)
Tell me something
(Niambie kitu, niambie kitu, Niambie kitu)
Tell me something baby
Twende… Twende… Twende…

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Tell Me (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

JUX

Tanzania

JUX, born Juma Mussa is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE