Accueil Recherche Pays Albums

Unitoke

IBRAH NATION

Unitoke Lyrics


 

Oooh yeah yeah yeah
Oooh yeah yeah yeah
Ni vibaya

Kumbato na busu ndo vya kunidanganyia
Nami niamini napendwa kwenye dunia
Ili nikigeuza shingo unanifikiria
Mbona nikipiga simu hutaki kupokeaga

Sina dhamana, sijakuzaa
Una maamuzi yako kumpenda anayekufaa
Ningejaliwa mali ningekupaa
Usiwaze mwingine tena
Unipende tu mi dada

Umenikoleza nami nimekolea
Nikajua na moyo utatulia
Kwenye jamvi eeh(aaah)

Sikuja kwako umenijikulia
Kilio na furaha dear
Nikaweka kambi eee(aaah)

Nitafanya ninachoweza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee

Kama muda nimeshapoteza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee

Unitokee...(aaah)

Siwezi kujidanganya
Najua wanichanganya
Zangu wamenizidi uchungu

Huwa nakuona 
Mara nyingi ukiongea naye
Natamani nianzishe mavurugu

Sina dhamana, sijakuzaa
Una maamuzi yako kumpenda anayekufaa
Ningejaliwa mali, ningekupaa
Usiwaze mwingine tena
Unipende tu mi dada

Umenikoleza na mimi kolea
Nikajua na moyo utatulia
Kwenye jamvi eeh(aaah)

Sikuja kwako umenijikulia
Kilio na furaha dear
Nikaweka kambi eee(aaah)

Nitafanya ninachoweza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee

Kama muda nimeshapoteza
Ili unitoke kwenye akili yangu
Na moyo wangu, unitokee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Unitoke


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

IBRAH NATION

Tanzanie

Ibrah Nation est un artiste chanteur, auteur compositeur tanzanien. ...

YOU MAY ALSO LIKE