Home Search Countries Albums

Sitaki Lyrics


Life is so beautiful, iko sawa
Cos my baby is so beautiful, nishanawa
Ole za baby oh yeah, kagawa
Nichanganyikiwe kabisa, chachawa

Unavyopulika, pulika kane
Unafanya niwe kiane
Ukipulika pulika, pulika kane
Wewe ni wangu sio wa mane

Sitaki taki shida
Nilishasota sana kwake nimefika (Kiko)
Sitaki taki (Eh), sitaki taki
Sitaki taki (Eh), sitaki taki (Eh eh eh)
Sitaki taki (Eh), sitaki taki (Eh eh eh)
Sitaki taki (Eh), sitaki taki 

Ananipa nachotaka sawa, sitaki shida
Namfikisha anapotaka sawa, sitaki shida
Nimewaacha mbali manamba, sitaki shida
Nikiwa ndani, ndani mimi na wewe baby, sitaki shida

Unavyopulika, pulika kane
Unafanya niwe kiane
Ukipulika pulika, pulika kane
Wewe ni wangu sio wa mane

Sitaki taki shida
Nilishasota sana kwake nimefika (Kiko)
Sitaki taki (Eh), sitaki taki
Sitaki taki (Eh), sitaki taki (Eh eh eh)
Sitaki taki (Eh), sitaki taki (Eh eh eh)
Sitaki taki (Eh), sitaki taki 

Unavyopulika, pulika kane
Unafanya niwe kiane
Ukipulika pulika, pulika kane
Wewe ni wangu sio wa mane

Sitaki taki shida
Nilishasota sana kwake nimefika (Kiko)
Sitaki taki (Eh), sitaki taki
Sitaki taki (Eh), sitaki taki (Eh eh eh)
Sitaki taki (Eh), sitaki taki (Eh eh eh)
Sitaki taki (Eh), sitaki taki 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Sitaki (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DOGO JANJA

Tanzania

Dogo Janja is a rapper from Dar es Salaam, Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE