Home Search Countries Albums

Tausi Wangu

HAPPY C

Tausi Wangu Lyrics


Fumba macho usione, nina zawadi nimekuletea
Baby no usigome, kama mapenzi basi ongezea
Asali yangu nairamba nimalize kibuyu
Wangu wa ndani nimumunye mi ni wako mahabusu
Usinitenge kwenye msoto,kwenye joto nifute jasho
Nibembeleze kama mtoto uilinde hadhi yangu

Wenye husda achana nao
Tumejenga kuta ya kutengana nao
Wenye husda achana nao
Tumejenga kuta yeah yeah yeah yeah

Tausi wangu wa pekee (Ooh)
Kipenda roho wa pekee (Ei yeah)
Tausi wangu wa pekee (Oooh)
Kipenda roho wa pekee (Ah yeah yeah yeah)

Moto umeuzima,siwezi kwenda kwingine
Tumekula yamini, mimi na wewe
Umenivuruga umenifanya dondocha,siwezi dondoka umenishikilia
Mapenzi tamu tamu unanipa naburudika nafarijika mama

Wenye husda achana nao
Tumejenga kuta ya kutengana nao
Wenye husda achana nao
Tumejenga kuta yeah yeah yeah yeah

Tausi wangu wa pekee (Ooh)
Kipenda roho wa pekee (Ei yeah)
Tausi wangu wa pekee (Oooh)
Kipenda roho wa pekee (Ah yeah yeah yeah)

Ooh yeah Ooh

Simama wakwone Jishebeshebedue
Cheza wakwone wakomeshe
Simama wakwone ringa ringa
Cheza wakwone wakomeshe

Simama wakwone Jishebeshebedue
Cheza wakwone wakomeshe
Simama wakwone ringa ringa
Cheza wakwone wakomeshe

Sultan 001
They call me Happy C yeah
Yeah yeah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Tausi Wangu (Single)


Copyright : (c) 2021 001 Music


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAPPY C

Kenya

Happy C  is a singer, songwriter, sound engineer from Kenya signed under 001 Music. ...

YOU MAY ALSO LIKE