Home Search Countries Albums

Mateka

HAPPY C

Mateka Lyrics


Usiwape faida wenye fitina mbaya
Walojawa na chuki machoni hawana haya
Mi chimi ukinipa nalamba na ukuku
We msingi bila wewe nyumba maporomoko

Mie king rubani wa mahaba
My lover kwako nitakaba
Mie king rubani wa mahaba
My ladha, ladha eh

Oh baby, mi ni mate
Oh kwako, mimi mateka
Oh baby, mi ni mate
Ah kwako, mimi mateka

Wanadanganya wanakanganya
Penzi ligawanyike
Chochote nitafanya, mbegu nitapanda
Mradi mi niwe nawe eeh

Ua la uwaridi
Kimapenzi wewe ni gwiji
Basi nidekeze
Cha ukucha nichumishe
Yajaze mapenzi nitosheke

Mie king rubani wa mahaba
My lover kwako nitakaba
Mie king rubani wa mahaba
My ladha, ladha eh

Oh baby, mi ni mate
Oh kwako, mimi mateka
Oh baby, mi ni mate
Ah kwako, mimi mateka

Mi ni mate, ah mate mateka
Mi ni mate, ah mate mateka
My ladha my baby, my darling

Mie king rubani wa mahaba
My lover kwako nitakaba
Mie king rubani wa mahaba
My ladha, ladha eh

Mi ni mate
Oh kwako, mimi mateka
Oh baby, mi ni mate
Ah kwako, mimi mateka

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Mateka (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

HAPPY C

Kenya

Happy C  is a singer, songwriter, sound engineer from Kenya signed under 001 Music. ...

YOU MAY ALSO LIKE