Nakupa Moyo Cover Lyrics
Umenena eeh mmmh
Eeeh mmmh
Uliponitoa ni mbali
Kwenye panda shuka za maisha
Kwenye mvua na jua kali
Kivulini ukaniweka
Kwenye juhudi za kutafuta shillingi
Hukuninyima
Tena kwa taabu nikitafuta riziki
Ukaniinua Baba
Wacha nikusifu kwa lugha nyingi
Wote wasikie
Ero kamano Nyasae
Mukama e ma simwe
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Chukua moyo Yesu wangu
Nipigwe na mawimbi, aaah mmh
Unanilinda siamini eeh
Mulinda wanje, Nyasae wanje
Reke nguinere
Maweko maku, ni magegetie
Reke nguinere
Umenifinyanga siamini
Yesu wangu
Umenibeba angani mimi
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nyumbani kazini
Nakupa moyo
Umenitendea na mengi nilipe na nini?
Nakupa moyo
Sio nyumbani sio kazini Baba
Chukua moyo Yesu wangu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Nakupa Moyo Cover
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
DENNO
Kenya
Denno real name Denis Kariuki is a gospel artist/minister from Kenya. Denno was formerly signed ...
YOU MAY ALSO LIKE