Zungusha Lyrics

(It's S2kizzy beiby)
Rj the Dj all day baby
This goes to all the beautiful ladies out there
Ah wote
Leo natuma nafsi na moyo
Vikupende wewe tu
Ya jicho ilo baki we mboni yangu
Baki na mimi tu
Aibu, kitandani sarakasi kungfu
Na zenye burger we ugali fufu
Nalisha gadi imefufuka fufu
Ah baby yaani umening'aza kuku
Kama safari naenda nafika
Vile laini juu nakwea napita
Hallo, Kanumba Jeniffer
Tuwe wote na unizike nikifa
Baby vile mi unanipa
-- nimekunywa nipa
Love baby I need you yeah
Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Hapa kipapatio paja kidali sikupi ng'o
We na watu ila kula hukuli ng'o
My unavyonitania kichwa kinawaka
Moyo unacheza kwaito ya Yvonne Chakachaka
Natamani nikubebe twende chaka chaka
Kimoko mbili chwa mi nikam fasta fasta
Kama safari naenda nafika
Vile laini juu nakwea napita
Hallo, Kanumba Jeniffer
Tuwe wote na unizike nikifa
Baby vile mi unanipa
-- nimekunywa nipa
Love baby I need you yeah
Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Zungusha zungusha
Zungusha millioni
Mi mgonjwa we ndo dakitari darling
Nilaze hali yangu sio shwari
Mi mpofu kwako sina hali
Nife na wewe nishakubali
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Zungusha (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
RJ THE DJ
Tanzania
Romy Jones aka Rj The Dj is an artist, WCB vice president, Diamond Platnumz official Dj/ Wasaf ...
YOU MAY ALSO LIKE