Home Search Countries Albums

Kilio

DJ SEVEN Feat. RUBY

Kilio Lyrics


Niko nnje umeificha funguo
Mkatili umenivua na nguo
Sina jipe kimebaki kilio
Kilio, kilio, kilio

Nimeumia umenikata sikio
Nikawa nacho ambiwa sisikii oooh
Mwishowe nikaja nikaambulia kilio
Kilio, kilio, kilio

Ina maana sikuwahi tena
Zile ahadi zimegeuka upepo na
Zimepepea, pepea pepea

Ina maana hulioni tena na
Lile upepo limegeuka upepo na
Linapepea, pepea pepea

Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukizomewa una mbele hutazami nyuma
Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukizomewa una mbele hutazami nyuma

Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh

Nimekuwa mnyonge si unaona
Ulichotaka kimekuwa ona
Hadi nafsi yangu inasonona
Aaah aaah

Nimekuwa mnyonge si unaona
Ulichotaka kimekuwa ona
Hadi nafsi yangu inasonona
Oooh ooooh

Imebaki nimekuwa zoba
Kosa langu kukuweka moyoni
Eeeh...

Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukizomewa una mbele hutazami nyuma
Unalewa sivyo hukumbuki jana
Ukizomewa una mbele hutazami nyuma

Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh
Kilio, ooh ooh

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Vibes EP/Kilio (Single)


Copyright : (c) 2020 DJ Seven Worldwide.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DJ SEVEN

Tanzania

Dj Seven aka 'Dj Seven Worldwide' is Harmonize Official Dj based in Tanzania. He is sig ...

YOU MAY ALSO LIKE