Home Search Countries Albums

LaCasa

EXRAY Feat. CHANTELLE

LaCasa Lyrics


Aaah aah aah aah
Iii, iii ii iii
(It's Byron baby)

Nakachapa chapa ki careless hapa
Na hakuna kitu woi utadu (La Casa)
Tukianza passa passa sepa mtachoka
Ngeus wangu ako greater than you (La Casa)

So walete one by one (La Casa)
Walete two by two (La Casa)
Walete three by three (La Casa)
Hata muite Njeri na Mercy (La Casa)

Hapa si huwakunywa bila chase (La Casa)
Kenye iko hapa itakumess (La Casa)
Tuko high wote usitense (La Casa)
Ukilegeza tu unaingizwa kwa mix (La Casa)

Ukinitaka taka vi-careless hapa 
Tania hakuna kitu mtadu (La Casa)
Tukianza si anasa si hapa mtanyonga 
Chali yangu ako better than you (La Casa)

Walete one by one (La Casa)
Walete two by two (La Casa)
Walete three by three (La Casa)
Na vile kwanza mnabonga shit (La Casa)
Endeni kwanza mtafute press (La Casa)
Kenye iko hapa itawamess (La Casa)
Endeni mtafute kwanza pesa (La Casa)
Kila kitu inaenda wing (La Casa)

Nakula mafupa kama hit king 
Mtoto amenipea kama beat king
Ati anapenda sana miti
Patawaka sana hapa mtoto akuwe lit ting
Napendaga mbogi ya mabigting
Mangoko wamedunga kwanza G string
Mwambie akaze guitar kwanza G string
Gilbeys kwa chupa ya Guiness

Anasema anapenda licking 
Ati anapenda vitu creamy
Ati heri niingize ulimi
Vile nimesema anaiona kwa makini

Leo tunachoma tumaini
Tulipotezanga tumaini
Tuko na mafedha Tumaini
Tuko on wote tuko na mpini

Napenda marasa zinavibrate 
Kuku ya mayai si ma highgrade
Mali safi safi kama highgrade
Mwambie kichwa solo atapatana na migrains

Nakachapa chapa ki careless hapa
Na hakuna kitu woi utadu (La Casa)
Tukianza passa passa sepa mtachoka
Ngeus wangu ako greater than you (La Casa)

So walete one by one (La Casa)
Walete two by two (La Casa)
Walete three by three (La Casa)
Hata muite Njeri na Mercy (La Casa)

Hapa si huwakunywa bila chase (La Casa)
Kenye iko hapa itakumess (La Casa)
Tuko high wote usitense (La Casa)
Ukilegeza tu unaingizwa kwa mix (La Casa)

Ukinitaka taka vi-careless hapa 
Tania hakuna kitu mtadu (La Casa)
Tukianza si anasa si hapa mtanyonga 
Chali yangu ako better than you (La Casa)

Walete one by one (La Casa)
Walete two by two (La Casa)
Walete three by three (La Casa)
Na vile kwanza mnabonga shit (La Casa)
Endeni kwanza mtafute press (La Casa)
Kenye iko hapa itawamess (La Casa)
Endeni mtafute kwanza pesa (La Casa)
Kila kitu inaenda wing (La Casa)

Nilikuwa form ya DB cooper
Zangu zikishika mchana kutwa
Mbogi ikarequest panda Uber
Tutafute doshi inakaa proper scooper

Chantelle mbona umetutupa
Tee tee si unatupa
Uliachanga waandishi juu ya pupa
Sipendi hawa mabiggie wanakaa kama 2pac

Labda ukuwe pope ndo utanisuka
Labda upigwe mob ndo nitashtuka
Customer niliuzaga duka 
Natafta boy ataact kama buda

Who is dat we ni wa kubukta
Sukta nukta niburn kama cooker
Sniper natafuta shooter 
Suka man ataact kamasutra

Napenda marasa zinavibrate 
Kuku ya mayai si ma highgrade
Mali safi safi kama highgrade
Mwambie kichwa solo atapatana na migrains

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Movement Vol. 1 (Album)


Copyright : (c) 2021 Black Market Records


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

EXRAY

Kenya

Exray aka X Ray or Taniua real name Tony Kinyanjui is an artist from Kenya. A member of th ...

YOU MAY ALSO LIKE