Home Search Countries Albums

Uniongoze Lyrics


Uniongoze na huruma zako
Usipo nibariki siwezi enda
Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
Kwa mkono wako kweli umenibariki ih ih
Kwa mkkono wako kweli umenibariki 
Baraka zako ziwe na mimi
Mapenzi yako yawe na mimi
Namacho yako yawe na mimi
Kwa Mukono wako kweli umenibariki kwa mukono wako kweli umenibariki
Ulinichagua kabla sijazaliwa
Ukanichagua nabii wa mataifa yo
Utaninitangulia siatogopa Chochote
Baraka zako ziwe na mimi
Mapenzi yako yawe na mimi
Namacho yako yawe na mimi
Kwa Mukono wako kweli umenibariki kwa mukono wako kweli umenibariki
Tembea nami ee bwana
Tembea nami baba yoo

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2015


Album : Uniongoze (Single)


Copyright : ©2018


Added By : Trendy Sushi

SEE ALSO

AUTHOR

EPHRAIM SEKELETI

Tanzania

Ephraim Sekeleti is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE