Uniongoze Lyrics
Uniongoze na huruma zako
Usipo nibariki siwezi enda
Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda
Kwa mkono wako kweli umenibariki ih ih
Kwa mkkono wako kweli umenibariki
Baraka zako ziwe na mimi
Mapenzi yako yawe na mimi
Namacho yako yawe na mimi
Kwa Mukono wako kweli umenibariki kwa mukono wako kweli umenibariki
Ulinichagua kabla sijazaliwa
Ukanichagua nabii wa mataifa yo
Utaninitangulia siatogopa Chochote
Baraka zako ziwe na mimi
Mapenzi yako yawe na mimi
Namacho yako yawe na mimi
Kwa Mukono wako kweli umenibariki kwa mukono wako kweli umenibariki
Tembea nami ee bwana
Tembea nami baba yoo
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2015
Album : Uniongoze (Single)
Copyright : ©2018
Added By : Trendy Sushi
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE