Home Search Countries Albums

Ipo Siku Lyrics


 

Hummm aiyaya aah
Ni mbali nimetoka tena ni ajabu kua hai
Maana nigeshakufaagaa
Ni mengi nimeonaa aah
Tena ya kuvunja moyo
labda ningeshakuacha mungu uuh
Ohhh kama ni misongo ya mawazo maah
Nimepitiaa ninazoeaaa
Maumivu ya kudharauliwa umasikini
Kila sikuu mi najipa moyo ooh humm

Ipo siku yangu tu… Ipo si siku uuh
Ipo siku yangu tu nami
Ni ba ni ba nibarikikiwe
Ipo siku yangu tu… Ipo si siku uuh
Ipo siku yangu tu nami
Ni ba ni ba nibarikikiwe

Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Aah   nibari kiwe (nibarikiwe)
Oohh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Nibarikiwe ni ba ni ba (nibarikiwe)
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Aah   nibari kiwe (nibarikiwe)
Oohh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Nibarikiwe ni ba ni ba (nibarikiwe)
Ahh oohhuu naona aah huumm
Aiyayaya aiyaya aiyaya hummm

Ingawa kwa sasa wananisema
Vibaya nami sishangai najua
Ni ya wanadamu hay oohh
Ingawa sipati na nikwa
Muda mrefu siachi kuomba mungu
Si kiziwii binadamu
Wema ukiwa nacho ooh
Kwa sasa waniepuka sina rafiki wa dhatii
Oohh kama ni misongo ya mawazo
Magonjwa maa
Nimepitia nimezoe aah
Maumivu ya kudharauliwa umasikini kila sikuuu
Mi naipa moyo ooh humm

Ipo siku yangu tu… Ipo si siku uuh
Ipo siku yangu tu nami
Ni ba ni ba nibarikikiwe
Ipo siku yangu tu… Ipo si siku uuh
Ipo siku yangu tu nami
Ni ba ni ba nibarikikiwe

Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Aah   nibari kiwe (nibarikiwe)
Oohh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Nibarikiwe ni ba ni ba (nibarikiwe)
Nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Aah   nibari kiwe (nibarikiwe)
Oohh nami nibarikiwe (nibarikiwe)
Nibarikiwe ni ba ni ba (nibarikiwe)
Ahh oohhuu naona aah huumm
Aiyayaya aiyaya aiyaya hummm

Miaka imepita umeonba mtoto hupatii
Vuta subira maana yeye hachelewi iih
Ona biashara imeandamwa
Mikosi hupati usimwache
Mungu waganga watakuponza
Mpo kwa ndoa ila nyumbani Amani
Hakuna msimwache mungu
Mchepuko sio jibu
Umeugua tumaini la kupona
Hakuna usimtazame mwanadamu
Siku yako imekaribia aah
Yeyi iih najua aiyaya
Najua aiyaya
Najua aiyaya
Ipo ooh

Misukosuko ya ndoa (ni yang utu)
Mtoto anakusumbua (usiku uuh)
Giza likingia unawaza wapi utalala
Ni ba ni ba nibarikiwe
Masimango mashemeji ati huza mtoto
Masimango mama wa kambo
Umemchosha nyumbani

Usiwaze usiume najua yote yatapita
Siku imekaribia najua yote yatapita
Nawe ubarikiwe aah ubarikiwe
Nawe ubarikiwe
Nawe ubarikiwe aah ubarikiwe
Nawe ubarikiwe

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2017


Album : Ipo Siku (Album)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

GOODLUCK GOZBERT

Tanzania

Goodluck Gozbert is a Bongo Gospel Artist/Singer from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE