Home Search Countries Albums

Nuru (ft. Nandy)

DOGO JANJA Feat. NANDY

Nuru (ft. Nandy) Lyrics


Akikaa na mashoga zake sifa kwangu mimi
Anadai ni mimi tu mwingine wa nini?
Alivyo ni beautiful nashindwa kuamini
Minywele misinga singa macho kama jini

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

You give me appetite
Nakunyonya mpaka my love bite
You give me appetite
Nakunyonya mpaka my love bite

You make me say, we ni nuru
Lalala la...laaa lalalala
We ni nuru
Lalala la...laaa lalalala

She make me say, we ni nuru
Lalala la...laaa lalalala
We ni nuru
Lalala la...laaa lalalala

Akikaa na rafiki zake sifa kwangu mimi
Anadai ni mimi tu mwingine wa nini
Alivyo ni handsome boy nashindwa kumuamini
Mirasta misinga singa macho kama jini

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

Pale penye tumetoka hawajui nawe
Milima na mabonde tumepigwa mawe
Bahari ya mapenzi nakatiza nawe
Na wewe

You make me say, we ni nuru
Lalala la...laaa lalalala
We ni nuru
Lalala la...laaa lalalala

She make me say, we ni nuru
Lalala la...laaa lalalala
We ni nuru
Lalala la...laaa lalalala

Come close, come closer
Tonight ooh come closer
Beiby come closer

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Asante Mama (Album)


Copyright : (c) 2021 MMB (Manzese Music Baby)


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DOGO JANJA

Tanzania

Dogo Janja is a rapper from Dar es Salaam, Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE