Home Search Countries Albums

Banana

DOGO JANJA

Banana Lyrics


Najua mamy siko sawa
Wananiona mi chawa
Hama chama si kima ndindindi
Niga siwezi kipritenindi
Tusiwasikiize mapimbimbi
Mama acha kuchomeshaga mahindi ndi
Nipe vitu nipe vitu konki (Haaa)
Nishajizatiti kujikoki
Hama chama si kima ndindindi
Niga siwezi kipritendindi
Tusiwasikikiize mapimbimbi
Mama acha kuchomeshaga mahindi

You are so beautiful
You are my banana
Nisipokujaka machoni moyoni moto unawake moto
You are my banana
My banana
You are so beautiful
You are my banana

Moto kunawaka moto
Mr uda uda come babe girl
Like hudda hudda wala usijari
Wakuda- kuda
Kaa nao mballi wakivuruga
Wanakimbilia mbali

Wanachosubir I kutupiga delo
Wanatamani tugombane kila leo
Hama chama si kima ndindindi
Niga siwezi kipritendindi
Tusiwasikiize mapimbi- mbi
Mama acha kuchomeshaga mahindi- ndi

You are so beautiful
You are my banana
Nisipokujaga machoni moyoni moto
Kunawaka moto
You are my banana
My banana
Moto kunawaka moto
You are so beautiful
Your my banana
Nisipokujaga machoni moyoni moto
Kunawaka moto
You are my banana
My banana

Moto kunawaka moto
Hama chama si kima ndindindi
Kunawaka moto
Tusiwasikiize mapimbimbi
You are so beautiful
You are my banana

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Banana (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

DOGO JANJA

Tanzania

Dogo Janja is a rapper from Dar es Salaam, Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE