Home Search Countries Albums

Nana

DAYOO

Nana Lyrics


Nananana nanaa
Onana nana
Nanana onanaa
Onana

Nishazuguka kote duniani
Kama wee sijamuona
Gari umeliwasha washa
Washa washa washa angani
Pole pole wee mkia mwendo wako
Ukitembea hutokwi jasho
Unang’ata kucha unafumba macho
Zitaniua pigo zako
Sir God amekupamba we alloo
Amekupa nyumba yaani mpaka choo
Makolo wakikijaza wee wa ignore
Akili kichawani iih eeh
Ooh mama mama
Mwaka huu watakomama eeh
Watasubiri sana sana
Kuja kuachana
Unanifanya naimba (onana nanaah)
Kichwani umenikaa (onana nanaah)
Nauwambie eeh moyoni umenijaa (onana nanaah)
Oh nana, oh nana
Mmh aah moyoni umenijaza
Oh na na moyoni umenikaa
Oh lala eeh

Nataka ni invest kwenye body uwe unapendeza
Aah zaidi ya kina nai
Usinyoe baby uwe unasuka ukikopeshwa
Mi nitalipa wakidai
Hao mabisho kawakataa kwa mangi kaweka koma
Pisi kapenda viwalo vya ilala boma
Baby unanifanya nikijikia kufa kufa kufa
Unanirudisha uhah
Ooh mama mama
Mwaka huu watakomama eh
Watasubiri sana sana
Kuja kuachana
Unanifanya naimba (onana nanaah)
Kichwani umenikaa (onana nanaah)
Nauwambie eeh moyoni umenijaa (onana nanaah)
Oh nana, oh nana
Mmh aah moyoni umenijaza

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Nana (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

DAYOO

Tanzania

Dayoo is a musician from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE