Home Search Countries Albums

Unatosha

DAYOO

Unatosha Lyrics


Iwe kiangazi ama masika
Iwe jua mvua imenvesha
Nitakupenda daima ooh weeh
Ikitokea nimepata tumekula tumelala
Ata nikikosa unavumilia mama ooh weeh
Hata uzunguke aunia nzima huwezi pata kama huyu
Huyu baby wangu
Hata wakisema ngoja chagua mmoja
Kwenye million moja we ndio nambia moja
Maana unanifaa mama, moyoni umenikaa nanaa

Unatosha sitaki ongeza mwingine
Ila wewe unanitosha, unanitosha
Unatosha sitaki ongeza mwingine
Ila wewe unanitosha, unanitosha

Utamu wa peremende
Umeninogesha nikupenda
Usiniache ukapita upande my weeh
Ntatafuta na kakiwanja tujende
Tumiliki kwetu tusipange
Majirani kichwani wasitupande, mi na wewe ooh wee
Hata uzunguke dunia nzima huwezi pata kama huyu
Huyu baby wangu
Hata wakisema ngoja chagua mmoja
Kwenye million moja we ndio nambia moja
Maana unanifaa mama, moyoni umenikaa nanaa

Unatosha sitaki ongeza mwingine
Ila wewe unanitosha, unanitosha
Unatosha sitaki ongeza mwingine
Ila wewe unanitosha, unanitosha

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Unatosha (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

DAYOO

Tanzania

Dayoo is a musician from Tanzania ...

YOU MAY ALSO LIKE