Home Search Countries Albums

Commercial Break

CONBOI

Commercial Break Lyrics


(Gih cue on Another one)

Nishasikia watu wanakufa kwa ajili ya ciggaretes
Ila sijasikia cha ukucha kinaweza kuuwa yet
Na ukifuatilia utkuta tuu kwenye internet
Wanaoshikiliwa ni wanaokutwa wakilipua jet

Na nishalipua jet now nigga i need a gas light
Siogopi police napuliza kwenye sky aight!?
Dont be so uptight nishaanza kuona mna back bite
Nobody go to jail for cross in the streets against the lights

I guess it’s like amani ipo Tz uki-classify
Ila kilasiku tuko busy tryin to passify
This fucking life ya bongo unaweza ukawa kichaa
Wahuni ndio tuna survive
Alotta hommies gone it feels so fucking bad

Shit is real nahitaji thrill to chill
Crunch time nigga gotta bills for real
Vyuma vimekaza ila im never gonna steal
Coz mwenyewe nakaza najua kupata ni peace meal

Aaargh! Grown man najua sijawahi zingua
Naridhika nnachopata cha mtu sitachukua
Napambana coz najua naamini kila hatua ni dua
Nishagundua unaemuamini ndie anaekuuwa

Na ishakuwa desturi sikuhizi mpaka washua nao wanalipua
Na sio rahisi kuwagundua maana wanauchubua
Lakini wahuni kama man pua ndio wanakisanua
Popote hata mchana kwenye jua huh!

Na unavyojua mtu akishastua
Wenge likipanda anaweza kulala hata kwenye mvua
Ndio maana wakituona stoners wanahisi tunazingua
Mtaani tukipishana wanahisi tutawakwapua huh!

Watu wakiamua , wanaweza hata kukuchafua
Unaweza hata kumpasua anayejifanya anakujua
Atafanya kakunja pua ajifanye kasikia puya
Hata kama sio mgonjwa atajifanya anasikia mafua huh!

Ma-rastafari huh! Wana-believe
Doobie inasaidia huh! Stress relief
Na kama inakutesa grief huh! You need a leaf huh
Dont sip no alcohol you dont need that shit!! 
Shiiiit!!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Commercial Break (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CONBOI

Tanzania

Conbo  is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE