Dua Lyrics
lalalalalalala...
Sio kama nalalama
Au nimekata tamaa
Unanijua vyema
Ila nahisi kuzama
Tumani langu ni kwako Rabana
Hii vita mi siwezi pigana
Dunia ni pana ila nahisi nabanwa
Nishike mkono Rabana
Sina bahati sibahatikii
Nachoshika ata hakishikiki
Wema wangu malipo yake chuki
Ila najua
tiba yangu dua
Najua utaisikia
Haya(haya)
Haya(haya)
Haya dua utaisikia
Haya(haya)
Haya(haya)
Haya dua utaisikia
Najiuliza sana
Zipi zangu kasoro
Nikitazama mbele
Naona giza totoro
Nimejishusha sana
Naiteka ni kitu kolo
Mimi ni nani
Kinishinde dhamani ata kiporo
Ila najua
Tiba yangu dua
Najua utaisikia
Haya(haya)
Haya(haya)
Haya dua utaisikia
Haya(haya)
Haya(haya)
Haya dua utaisikia
Dua, dua, dua ataisikia
Usichoke kufanya dua ataisikia
Dua, dua, dua ataisikia
Usichoke kufanya dua ataisikia
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Dua (Single)
Copyright : All rights to the owner.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
DAYNA NYANGE
Tanzania
Mwanaisha Said Nyange aka Dayna Nyange ,was born in Mwanza moved to Dodoma. She currently live ...
YOU MAY ALSO LIKE