Home Search Countries Albums

Homa Lyrics


Yaani wee chungu chote umekomba nyama
Majiwenge haitoshi ukamponda jamaa
Mawenge zile mie kutwa tamaa
Nitembee nisimame mara kuchutama

Ile katambua uliapa huniachi mii
Iwe jua au mvua joto kali baridi
Bora zaidi nijue ni ipi shida yangu mi
Ninunue hata maua nikifa yanifariji

Nalegea pumzi inapotea
Cha kunipepea kipo mbali mbali
Nalegea pumzi inapotea
Cha kunipepea kipo mbali

Nitafanya mimi mie, homa homa
Moyo wangu utulie, homa homa aah
Nitafanya mimi mie, homa homa
Moyo wangu utulie, homa homa aah

Ile mideko, mineso yote chumbani
Leo mateso kuliko uyaone ukubwani
Kukufanya special kafiri wangu mwandani
Hakikufika kesho uniombe chumvi jamani

Isiponi maana...
Nalegea pumzi inapotea
Cha kunipepea kipo mbali mbali
Nalegea pumzi inapotea
Cha kunipepea kipo mbali

Nitafanya mimi mie, homa homa
Moyo wangu utulie, homa homa aah
Nitafanya mimi mie, homa homa
Moyo wangu utulie, homa homa aah

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Homa (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

DAYNA NYANGE

Tanzania

Mwanaisha Said Nyange aka  Dayna Nyange ,was born in Mwanza moved to Dodoma. She currently live ...

YOU MAY ALSO LIKE