Shoga Cover Lyrics
Ninaulizwa mimi na wewe mbona hatuelewani
Wakati urafiki wetu kila mtu anaufahamu
Ila leo lazima niseme
Kuwa wewe ni mzushi tena muongo
Na kumbe una lako jambo
Uliponishauri niachane naye
Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe
Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana
Sikutegemea, ungenigeuka tena bila aibu
Umenikosea
Inaniuma sana ulivyonitenda
Tuone furaha yako itaishia wapi
Sikutegemea, ungenigeuka tena bila aibu
Umenikosea
Inaniuma sana ulivyonitenda
Tuone furaha yako itaishia wapi
Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe
Hata wewe, hata wewe
Hata we shoga yangu, hata wewe
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana
Nitapata wapi rafiki mwema
Kila rafiki adui tena
Nakula nawe, nacheka nawe
Nikikupa chongo ndo unanisema
Hata ukisema vibaya(Sawa)
Niombee mabaya(Sawa)
Kunja roho mbaya(Sawa)
Moyoni nina Jesus power(Power)
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana
Inasikitisha, inasikitisha
Inasikitisha, sikitisha sana
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Shoga Cover (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE