Home Search Countries Albums

Utachekwa

B GWAY

Utachekwa Lyrics


Hizi streets za mapenzi 
Mmmh jamani kaza (Utachekwa)
Ati baby kakuacha
Ndo ujitie kitanzi (Utachekwa)
Ndugu yangu huna shepu unajibinua binua (Utachekwa)
Hata kodi hujalipa unajichubua chubua (Utachekwa)

Ukijitamba utazua nongwa (Utachekwa)
Ati gari nimenunua kumbe umehongwa (Utachekwa)

We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)

Ukimpigia baby baby ukaweka na loudspeaker
Kumbe baby yuko na baby yatakushuka (Utachekwa)
Sa ndo nini umelewa unaanza kutoa vya ndani (Utachekwa)
Umenunua subwoofer ndo utese majirani (Utachekwa)
We shabiki wa Yanga unaishi Msibanzi (Utachekwa)
We shabiki wa Simba unajenga mwembe Yanga (Utachekwa)

We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)
We acha ujinga we acha ujinga (Utachekwa)

Kama unaboss mpepeee, chawa boss mpepeee
Kama unaboss mpepeee, aah mpepeee 
Kama una baby mpepeee,jamani baby mpepeee
Kama una baby mpepeee, aah mpepeee 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Utachekwa (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

B GWAY

Tanzania

B GWAY is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE