Home Search Countries Albums

Mama

WYSE

Mama Lyrics


Hmmm hmmm...
Nimerudi nyumbani
Miaka mingi imepita
Nimekumiss jamani
Mama nimekukumbuka

Si wakumbuka zamani
Ulivyokuwa ukiniita
Aso purukushani
Nikashindwa kukuona

Ila nimefarijika 
Nilivyokukuta salama
Uso umejaa nuru 
Tena unatabasamu

Kwanza ni nini umepika?
Njaa imenishika ooh mama
Naja unipakulie
Nimemiss vitamu

Nilikosa mengi zamani
Kwa upendo wako mama 
Ukanivumilia

Visa visa vingi utotoni
Mpaka nikahisi kama
Unanionea

Zile fimbo zako mkononi
Na kila nilipokosa mama
Ulinikemea

Upendo wako, wako
Mungu pekee
Ndo anayejua

Mama mama, mama
Kwangu hakuna kama wewe
Mama mama, mama
We ndo kila kitu changu

Mama mama, mama
Wala hakuna mwingine
Mama mama, mama
Awe ndo duniani

Mama yangu bado upo hai
Nashukuru Mungu
Kuna wa wenzetu
Mama zao wametangulia

Sio kama mimi najidai
Wala si ujanja wangu
Namuomba Mungu 
Aendelee kunitunzia

Mama nikikukosea
Naomba unisamehe
Tena nimekubebea
Vizawadi uvipokee

Kuna mengi ya dunia 
Nikirudi uniombee(Mama)
Korti nitakutetea
Usibaki mpweke(Mama)

Nilikosa mengi zamani
Kwa upendo wako mama 
Ukanivumilia

Visa visa vingi utotoni
Mpaka nikahisi kama
Unanionea

Zile fimbo zako mkononi
Na kila nilipokosa mama
Ulinikemea

Upendo wako, wako
Mungu pekee
Ndo anayejua

Mama mama, mama
Kwangu hakuna kama wewe
Mama mama, mama
We ndo kila kitu changu

Mama mama, mama
Wala hakuna mwingine
Mama mama, mama
Awe ndo duniani

Mama, mamaa
Mama, mamaa
Mama, mamaa
Mama, mamaa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Mama (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

WYSE

Tanzania

Wyse is a singer/songwriter from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE