Home Search Countries Albums

Muujiza Lyrics


Nikilala niamke, nikiona natembea 
Mwenzenu kwangu ni muujiza
Asubuhi kunakucha jioni ikiingia
Maisha yangu mimi ni muujiza tu

Siku ikipita mwezi na mwaka unapita
Mimi kwangu ni muujiza tu
Yesu, Yesu bwana wangu eh
Oh kwangu ni muujiza

Mimi ni muujiza
Maisha yangu mimi ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza
Nikilala ni muujiza, nikiamka ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza

Kuna walio lala, hawakuamka
Eh bwana naona ni muujiza
Walioanza safari hawakufika 
Mimi leo najiona ni muujiza

Kuwa hai, kutangaza neno lako
Bwana kwangu mimi ni muujiza
Sina sababu ya kunyamaza 
Maana kwangu ewe bwana ni muujiza

Mimi ni muujiza
Maisha yangu mimi ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza
Nikilala ni muujiza, nikiamka ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza

Hoyee, hoyee, eh Yesu wee hoyee
Hoyee kwa Yesu eeh, Yesu wangu

Mimi ni muujiza
Maisha yangu mimi ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza
Nikilala ni muujiza, nikiamka ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza

Mimi ni muujiza
Maisha yangu mimi ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza
Nikilala ni muujiza, nikiamka ni muujiza
Eh bwana we kwangu ni muujiza

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Muujiza (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CHRISTINA SHUSHO

Tanzania

Christina Shusho is a Gospel  artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE