Home Search Countries Albums

Sina Noma

AMINI

Sina Noma Lyrics


Nasema presha inapanda 
Kushuka ngoma nishawamba
Pasuka noma imenibamba 
Kwa mtima mota ya kitanga kisolola

Mtoto mayonnaise
Umenichanganya changanya 
Kweli kamama 
nimerealize 
Ukweli bila wewe sitakwenda

Hupaki Carolight 
Futa la nazi, vazi la kanga
Pasi nyingi kati
Utaratibu usinitengue nyonga

Eti utarudii(rudi ooh)
Naingoja mood honey(mood honey)
Kwako sisemi 
Una makusudi jirani

Eti utarudii 
Naingoja mood honey
Mgema sigemi
Nachanganya tembo na maji

Mbona sina noma eeh
Mbona sina noma eeh
Mbona sina noma eeh
Mbona sina noma eeh

Kama kamba umenifunga eeh
Fanya uje unifungue mbio mbio
Kama moyo umeuchuja
Kama nazi na wewe ndio chujio

Hata ukisema nalia lia
Mi mwenzako nalilia kasumba eeh
Haya mapenzi nakupenda dear
Yawe real sio movie ya Kanumba eeh

Kama katuni ukinichekea
Mtam tam sio ladha ya mchungwa eeh 
Mwendo wako wa kuchechemea
Na Wallahi ameumbwa

Na bado bado oooh
Hebu nyumbulika noshalipa na bima
Bado bado oooh
Hebu tikisa nione na huko nyuma

Eti utarudii(rudi ooh)
Naingoja mood honey(mood honey)
Kwako sisemi 
Una makusudi jirani

Eti utarudii 
Naingoja mood honey
Mgema sigemi
Nachanganya tembo na maji

Mbona sina noma eeh
Mbona sina noma eeh
Mbona sina noma eeh
Mbona sina noma eeh

Mbona sina noma eeh(sina noma sina mama)
Mbona sina noma eeh(heeh eeeh)
Mbona sina noma eeh(sina noma sina mama)
Mbona sina noma eeh(heeh eeeh)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Sina Noma (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

AMINI

Tanzania

Amini is Musician || Song Writer || Composer  || Malaria Ambassador ||  artist from Tanzan ...

YOU MAY ALSO LIKE