Home Search Countries Albums

Pilipili

MATONYA Feat. KAREEN

Pilipili Lyrics


Mi natamani moyo ungekuwa kiwanja
Ningekupa ujenge
Kama ruby, dhahabu, ndio ticket
Ningechimba kwa jembe

Ulivyo umbika mamaa
Nyuma kama mlima eeh
Usije niacha na ndoto kwenye kona
Haki ya nani nitazima

Mi ndo wako mtimaa maa
We dumuzi nimalizee(nimalizee eeh)
Sitaki nikukosee 
We nimalize aaai

Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)
Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)

Hata ukiweka kwa maji 
Bado tu inaniwasha
Ukichombeza na ndizi je?
Bado tu itaniwasha

Penzi letu liwe siri(tarama)
Kuepusha majangili(tarama)
Wasije pora watanikili(tarama)
Nishinde mkono wa shavu sio dili(tarama)

Nina mipango mingi nawee
Tokea zamani
Ugomvi wa simu tupa kulee
Kizamanii

Aii baby mi nawee(nichum chum)
Wali tupakulee(nichum chum)
Eh mi nawee(nichum chum)
Baby mpaka kulee

Aii baby mi nawee
Wali tupakulee
Eh mi nawee
Menya ndizi nilee

Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)
Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)

Hata ukiweka kwa maji 
Bado tu inaniwasha
Ukichombeza na ndizi je?
Bado tu itaniwasha

Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)
Pilipili wewee(pilipili inaniwasha)
Pilipi Pilipi(pilipili inaniwasha)

Aii baby mi nawee(nichum chum)
Wali tupakulee(nichum chum)
Eh mi nawee(nichum chum)
Baby mpaka kulee

Aii baby mi nawee
Wali tupakulee
Eh mi nawee
Menya ndizi nilee

Nichum chum
Nichum chum
Nichum chum
Nichum chum

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Pilipili (Single)


Copyright : (c)2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MATONYA

Tanzania

Matonya Mbili whose real name is Seif Shaban, ia a Bongo Flava artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE