Home Search Countries Albums

Nafuta Lyrics


Umenifanya pawaza huwa na comment swali ama naulizaga jiku
Najiona mpumbavu ah najiona mjinga
Maana hata nikiview hata nikituma meseji kwako
Haupokei hata nikikupigiaaaa
Natena kinachofanya niumie status zako jamaa
Sijui hawa unaniandikiaga mie, naumiaga sana
Ila ndo vile mwenzako mi kusemasema siweziii
Naona poaaa bora nikuache salaama

Nafuta namba yako
Nafutaaa
Hautoniona tena, nikikutafutaaa
Nafuta namba yako
Nafutaaa
Hautoniona tena, nikikutafutaaa
Oolala lila lila lah
Oolala lila lila lah

Naumeniacha adaani mie
Umeniacha taabani mie
Aka sionii nilipokoseaaaa, uuuuhh
Ila ka ukipata huruma kidogo unipigieeee
Ila ka utauchuna ntaona fresh tu usiniwaziee
Maana sijawahi hata postika
Simbembelezwi hata dakika
Sio kwa voice tu kastika sijawahi tumiwaa
Video call unajificha
Oh mara ghafia imekatika
Ulinionea mi sikuongea
Natena kinachofanya niumie status zako jamaa
Sijui hawa unaniandikiaga mie, naumiaga sana
Ila ndo vile mwenzako mi kusemasema siweziii
Naona poaaa bora nikuache salaama

Nafuta namba yako
Nafutaaa
Hautoniona tena, nikikutafutaaa
Nafuta namba yako
Nafutaaa
Hautoniona tena, nikikutafutaaa
Sitokutafuta tenaaa (Oolala lila lila lah)
Usinitafute tenaaa (Oolala lila lila lah)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Nafuta (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

CARLIE BRONZE

Tanzania

Carlie Bronze is a Singer | Song writer | Performer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE