Home Search Countries Albums

Serious Genius

CHIDI BEENZ

Serious Genius Lyrics


Mami please don't clap
Got to keep the head up
Bendera you go high

Wanasema what for me?
Hata kama nimekuwacha
Kingkong la familia master
Mafia, power gangster ninja

Usilete mchezo baba yangu nitakuchinja
Japo ka polisi nuksi kama diss
Hope usingisi kwenye shot never miss
Ruka ukipeta sing na unanyeta(Mea)

Mpaka wazee wanapiga ngeta
Makofi shangilia ka fiesta
R.Kelly Jay Z remix the better
Yeah, kiss kiss rumande, swali mpaka sunday

Cash in out na wapambe 
Ilambe ka umekula kande
Ukishiba usahau, Nenda...

Bam bam bam 
Aaah ....

Maneno kama billion laki, Billion mia 
Sumu kwenye chati, crossborder India
US simu zinalia, UK mbio namchinjia
Dubai kafa, ila landlord namfukia

Ushezi yake, sina uongozi na ukweli niko neutral
Na niko mbali juu pembeni kwa mbele ya pluto
King, sitaki mbele iwe majuto
God yes, sifagilii vituko
Uchekeshi wakati unacheka mcharuko
Mbosso ama Aslay ita Mbosso
Izo manizo fo shizzo, movie hizo sifa mpe Dulli
Bongo sinema, maigizo, majela majibi malulu
Maagizo, majumba Kanumba wanapata ...

Am a rap nigga, bam bam
---

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Serious Genius (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CHIDI BEENZ

Tanzania

Chidi Beenz aka Chuma is an artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE