Kama Kawa Lyrics

Ah! sawa ah
Tunapenda tusipo hitajika
Sawaa nimekubari me kolo eh!
Ah kama kawa bado anavunga
Hata nikimchatisha
Sawaa si anafanya anikomoe
Ah! nami sielewi
Siwezi kumkaushia aniache
ohh! sielewi
Sitoacha kumchalazia sitomeza mate
Sa nimitende vipi?
Japo ananikanyagia haina noma mwake
Kwa misele mingi sitoacha kumuibukia
Daily kwake ni kama kawa
Asipo jibu message nitampigia
Hata kama ata akiniona nitamkimbia
Kama kawa! Nitapona endapo nitamsikia
Kama kawa! Sitachoka me japo ohh! naumia
Ah! nami sitoona jau
Ye muacheni anichunie
Napanda dau nitafanya anifikilie eehh! eeh!
Huenda ananidharau
Kaona mwenzangu na mimi
Penzi la zambarau peupe asiwachafulie
Nitampenda mpaka basi
Kama atanipa nafasi
Maana mabaya, mapenzi mabaya ah!
Me moyo wangu takasi
Siwezi wekeza visasi
Wana roho mbaya
Mi sina roho mbaya
Nami sielewi
Siwezi kumkaushia aniache
Ohh! sielewi
Sitoacha kumchalazia sitomeza mate
Sa nimitende vipi?
Japo ananikanyagia haina noma mwake
Kwa misele mingi sitoacha kumuibukia
Daily kwake ni kama kawa
Asipo jibu message nitampigia
Hata kama ata akiniona nitamkimbia
Kama kawa! Nitapona endapo nitamsikia
Kama kawa! Sitachoka mi japo ohh! naumia
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Kama Kawa (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
CARLIE BRONZE
Tanzania
Carlie Bronze is a Singer | Song writer | Performer from Tanzania. ...
YOU MAY ALSO LIKE