Home Search Countries Albums

Kama Kawa

CARLIE BRONZE

Kama Kawa Lyrics


Ah! sawa ah 
Tunapenda tusipo hitajika
Sawaa nimekubari me kolo eh!
Ah kama kawa bado anavunga
Hata nikimchatisha

Sawaa si anafanya anikomoe
Ah! nami sielewi 
Siwezi kumkaushia aniache
ohh! sielewi 
Sitoacha kumchalazia sitomeza mate

Sa nimitende vipi?
Japo ananikanyagia haina noma mwake 
Kwa misele mingi sitoacha kumuibukia
Daily kwake ni kama kawa

Asipo jibu message nitampigia
Hata kama ata akiniona nitamkimbia
Kama kawa! Nitapona endapo nitamsikia 
Kama kawa! Sitachoka me japo ohh! naumia

Ah! nami sitoona jau
Ye muacheni anichunie
Napanda dau nitafanya anifikilie eehh! eeh!
Huenda ananidharau 
Kaona mwenzangu na mimi

Penzi la zambarau peupe asiwachafulie
Nitampenda mpaka basi
Kama atanipa nafasi 
Maana mabaya, mapenzi mabaya ah!

Me moyo wangu takasi 
Siwezi wekeza visasi
Wana roho mbaya
Mi sina roho mbaya

Nami sielewi 
Siwezi kumkaushia aniache
Ohh! sielewi 
Sitoacha kumchalazia sitomeza mate

Sa nimitende vipi?
Japo ananikanyagia haina noma mwake 
Kwa misele mingi sitoacha kumuibukia
Daily kwake ni kama kawa

Asipo jibu message nitampigia
Hata kama ata akiniona nitamkimbia
Kama kawa! Nitapona endapo nitamsikia 
Kama kawa! Sitachoka mi japo ohh! naumia

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Kama Kawa (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

CARLIE BRONZE

Tanzania

Carlie Bronze is a Singer | Song writer | Performer from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE